Wednesday, January 16, 2013

MAMILIONI YA WAUMINI WA DINI YA HINDU WAJISAFISHA DHAMBI ZAO


Hindu
Mamilioni ya waumini wa dini ya hindu wakiingia kwenye mto wanaouita mtakatifu wa Ganges wenye maji ya baridi, kwa kile wanachoamini kunawasafisha madhambi yao
Whip my hair: The holy men presented an arresting sight at the first day of the festival
tayari watu zaidi ya milioni tatu washaingia katika mto huo kwa jana asubuhi na huku wakitegemea kufika watu million 11 kuingia kwenye mto huo kufikia jana jioni,  kwa ushahidi wa afisa mkuu wa maadhimisho hayo, Mani Prasad Mishra
Procession: A child adorned with marigolds is carried by sadhus on the way to the Sangam

PICHA:VIDEO MPYA YA NAY WA MITENGO KUFANYIKA MAKABURINI "WAMENICHOKOZA"

 Msanii rapper wa Bongo Fleva maarufu kama Nay wa mitengo baada ya kutoa ngoma yake inayofahamika kwa jina la Wamenichokoza sasa siku za hivi karibuni ndiyo alikuwa akifanya video ya ngoma hiyo na video hiyo amefanyia maeneo ya makaburini.Kwa hiyo wale mashabiki wa Nay kaa tayari kwa ujio mpya kutoka kwa Nay.