Sunday, August 5, 2012

Hisia nane hatari katika mapenzi


Miongoni mwa vitu vinavyochangia kuharibu uhusiano wa kimapenzi ni hisia. Wapenzi wengi wameachana kwa sababu si kwamba walithibitisha ubaya wa wenzao ila walijijaza wenyewe hisia mbaya na kujikuta wamepoteza thamani ya kupenda. Hebu angalia hisia nane hatari ili uzikimbie mapema kabla hazijakuharibia penzi lako.

1. NASALITIWA

Kuishi katika mapenzi huku ukiwa na fikra kwamba mwenza wako anakusaliti ni jambo baya kwa vile huathiri msukumo wa ndani wa kupenda. Matokeo yake utajikuta ukishindwa kutimiza wajibu wako kama mke/mume kwa sababu tu ya kuendekeza hisia mbaya. Acha kuhisi, tafuta ukweli.

2. TUTAACHANA
Kuna wapenzi ambao wanaishi na mawazo ya “ipo siku tutaachana”. Wanafanya hivyo eti kwa kutafsiri mwenendo usioridhisha wa mapenzi yao. Kusema kweli hili ni jambo baya kwani huondoa ari na kujenga ufa wa mapenzi. Huwafanya wapenzi kubakia na wazo moja tu, la kutafuta sehemu mbadala ya kwenda baada ya kuachana. Usiwaze kabisa kuachana hata kama mnagombana na mwenzako kila siku.

3. SIWEZI MAPENZI
Baadhi ya wapenzi huwa na hisia kwamba hawayawezi mapenzi. Hata kama hawajaambiwa chochote kuhusu kutowatosheleza wenza wao faragha hukimbilia kujihukumu. Hujaambiwa kama umecheza chini ya kiwango, hofu ya nini? Usiwaze hivyo, kama una lolote linalokufanya uwe na hofu muulize mwenzio.

Agnes Gerald a.k.a Agnes Masogange aonekana mtupu katika video




Kama umeshaiona video ya Masogange ya Belle 9,  tunaamini unamfahamu msichana mrembo aliyemo humo. Jina lake ni Agness na ni miongoni mwa ma video girls wakali zaidi Bongo.

So hivi karibuni ilivuja video yake inayomwonesha akiwa mtupu. Kwenye picha za video hiyo mrembo huyo aliyebarikiwa mzigo wa maana kule nyuma, anaonekana akiwa na nguo ya ndani tu pamoja na bra huku akishake her ass like a pornstar!

BAADA ya kuandamwa na skendo kibao za kutoka na vigogo kisura wa video za wasanii wa bongo, Agnes Gerald maarufu kama Agnes Gerald, ameonekana kwenye mkanda wa picha ya ngono ambao umesambaa mtaani huku ikiwa dili kwa watu wanaotaka kuona umbo la mwanadada huyo.

Mkanda huo unaomuonesha mwanadada huyo akiwa mtupu, huku utata mkubwa ukizunguka kujua ni kitu gani kilichosababisha hadi kusambazwa kwa video hiyo.

Kuna picha nyingine anaonekana akikiss na boyfriend wake.

Chanzo cha kuvuja kwa video hiyo anasema ni kuwa digital camera yake ilipotea ndani mwake wakati yeye akiwa nje ya nchi. Anamshutumu Sintah kuwa yeye ndo aliisambaza.

Akiongea na Power Jams ya East Africa Radio hivi karibuni Agness amesema hajafurahishwa na kitendo cha kuanikwa hadharani na Sintah na alipanga kuchukua hatua lakini washauri wake wamemsihi asifanye hivyo zaidi ya kumwachia tu Mungu.

Afande Selle avua nguo jukuwani

Huku msanii wa bongo fleva Chid Benz akiacha watanzania midomo wazi kwa kikendo cha kutoboa pua, Afande Selle naye aibuka na jipya iliyovunja rekodi kwa kuvua nguo na kubaki na cha ndani kisichoeleweka hata jina lake na wala brand ya kampuni iliyoitoa...
Swali linabaki kwa mashabiki wa bongo fleva kuwa ni wapi tunaelekea na mziki wetu na ni tamaduni gani hizi zinazoibuka baina ya wasanii wetu?