Saturday, September 22, 2012

Kuumizwa ni ajali lakini isiwe mazoea

 
KAMA kawaida tumekutana tena kwenye kona yetu ya Mapenzi na Uhusiano, leo nataka nizungumzie maumivu katika mapenzi ambayo unaweza kukutana nayo na kuyavumilia.
Kumekuwa na matukio mengi katika uhusiano yanayosababisha mmoja kuumizwa na mpenzi wake pale anapokosa uaminifu au kutoonyesha kujali hisia za mwenzake.
Ni kweli wanadamu tuna upungufu ambayo huenda ukasababisha maumivu kwa mmoja. Wapo ambao wamekuwa wakivumilia mateso ambayo wamekuwa wakiyapata kwa wenza wao, wakiamini huenda mwenzake atajirekebisha lakini bahati mbaya anayemtegemea hayaoni maumivu ya mwenzake na kuendelea kumtesa.

Waisilamu waandamana kote duniani


 

Mapambano yametokea baina ya polisi na waanda-manaji nchini Pakistan kabla ya sala ya Ijumaa, kulalamika juu ya filamu inayokejeli Uislamu iliyotengenzwa Marekani.

Shirika moja la habari la Pakistan limesema kuwa mfanyakazi wake mmoja ameuwawa mjini Peshawar wakati polisi walipofyatua risasi kutawanya makundi ya watu wenye hasira, waliojaribu kuchoma moto jengo la sinema. 

Ghasia zimeendelea hadi Magharibi, na waandamanaji hasa wakilenga ofisi za balozi wa Marekani katika miji mbali-mbali.
Ulinzi ulidhibitiwa katika nchi nyingi za kiisilamu kama Misri, Libya, Tunisia Morocco na kwingineko huku zikijiandaa kwa maandamano makubwa baada ya maombi ya Ijumaa.

Friday, September 21, 2012

CNN iReport about late Daudi Mwangosi


Petition Goverment of Tanzania 


Petition Goverment of Tanzania

 
Government of Tanzania: Stop police violence against peaceful demonstrators and journalists

PLEASE TAKE TWO MINUTES TO SIGN THIS PETITION. THERE ARE PEOPLE IN TANZANIA WHO WANT TO SIGN, BUT THEY DON'T HAVE A COMPUTER.


http://www.change.org/petitions/government-of-tanzania-stop-police-violence-against-peaceful-demonstrators-and-journalists?utm_source=supporter_message&utm_medium=email
  • TAGS:

What do you think of this story?

Select one of the options below. Your feedback will help tell CNN producers what to do with this iReport. If you'd like, you can explain your choice in the comments below.
    Awesome! Put this on TV!Almost! Needs work.This submission violates iReport's community guidelines.

Comments (10)

Log in to comment
iReport welcomes a lively discussion, so comments on iReports are not pre-screened before they post. See the iReport community guidelines for details about content that is not welcome on iReport.
Click to view bongotz's profile bongotz
3 hours ago
Today is almost two weeks since the Journalist Daudi Mwangosi was killed on the hands of the Tanzanian Government, but has not been a word of condolence or condemnation from the President whose First constitution job is to protect the Constitution of United republic of Tanzania and the lives of every Tanzanian.

BASATA WAMJIA JUU AUNT EZEKIEL

                                     
                                              

SAGA la mwigizaji wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel (pichani) kuvaa nusu utupu na kukaa kihasara huku maungo nyeti yakichungulia, limechukua sura mpya baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) kumjia juu,

Baby Madaha abwaga chakula cha mtoto kwenye kuku wengi

Baby Madaha akiwa jukwaani kuwapa raha mashabiki.
Na Musa Mateja aliyekuwa Morogoro
STAA ‘seksi’ wa filamu na muziki wa Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha amejikuta akiumbuka mbele ya mashabiki wake baada ya matiti a.k.a nido zake kuchomoza na kuonekana hadharani akiwa jukwaani na kusababisha midume yenye ukame kumzengea.

PADRI POLAND AWALISHA WANAFUNZI KRIMU ILIPAKWA KWENYE MAGOTI

POLISI nchini Poland wameanzisha uchunguzi dhidi ya Padri Marcin Kozyra wa Poland baada ya kupatikana kwa picha zinazowaonyesha wanafunzi wa kike na kiume wenye umri wa miaka 13 wakilamba krimu iliyopakwa kwenye magoti yake.
Kozyra pia ni mwalimu mkuu wa Salesian High School ambako inasemekana kitendo hicho  ni utamaduni wa ‘sherehe ya kuwapokea wanafunzi wapya’ kila mwaka.


        
Wanafunzi wakijiandaa kumlamba magoti padri huyo.

Picha hizo zinamwonyesha Kozyra akiwa amekaa kitini na akiwa amevaa kaptura na akiwa na fimbo.

Monday, September 17, 2012

LADY GAGA NA STYLE MPYA YA NYWELE NA KUPIGA TATOO KATIKA KICHWA CHAKE

Muonekano wa Lady gaga katika kichwa chake kabla ajaweka tatoo mpya baada ya kunyoa style yake.
                            Lady gaga akipigwa tatoo mpya katika kichwa chake baada ya kunyoa.
        Muonekano mpya wa Lady gaga baada ya kumaliza kupiga tatoo yake mpya katika kichwa chake
                            Lady gaga na muonekano mpya wa tatoo yake katika Fashion week

MUONEKANO MPYA NA BURUDANI ILE ILE SERENGETI FIESTA MOROGORO BHASSSSSSSS


Nyota wa kizazi kipya katika muziki wa bongo fleva huyu si mwingine ni Ben Pol akionyesha vitu vyake katika stage ya Serengeti Fiesta mkoani morogoro usiku wa kuamkia leo katika viwanja vya jamhuri.
Msanii mwenye miondoko ya pwani huyu si mwingine anajulikana kwa jina la AT akionyesha mambo yake katika jukwaa la Serengeti Fiesta mkoani Morogoro katika viwanja vya jamhuri.
Nyota wa kizazi kipya anayefahamika kwa jina Recho kutoka THT naye alikuwa ni moja kati ya wasanii ambao wametoa burudani ya uhakika kabisa katika tamasha la serengeti fiesta mkoani Morogoro usiku wa kuamkia leo katika viwanja vya jamhuri.

Sunday, September 16, 2012

MPYA YA LEO>>>MSAFARA WA MBIO ZA MWENGE WAPATA AJALI RUKWA, KADHAA WAJERUHIWA NA KUKIMBIZWA HOSPITALI


Gari iliyokuwa imewabeba madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga katika msafara wa Mwenge ambayo ilipinduka jana katika kijiji cha Luwa na kujeruhi vibaya zaidi ya Madiwani watatu, hali iliyosababisha madiwani hao kukimbizwa hospitali ya mkoa mjini Sumbawanga. 

Sudan Kusini yazamisha meli yake yenyewe

Wakuu wa Sudan Kusini wanachunguza sababu ya jeshi kushambulia na kuizamisha meli yao wenyewe kwenye Mto Nile.
Msemaji wa jeshi la Sudan Kusini Kanali Philip Aguer
Wanajeshi kumi walifariki na wengine hamsini wametoweka.
Msemaji wa jeshi la Sudan Kusini, Kanali Philip Aguer, amesema meli hiyo ilipita kituo cha ukaguzi usiku bila ya kusimama ingawa ilitakiwa kusimama.
Alisema meli hiyo ilikuwa imebeba wanajeshi kama 170.


ALICHOSEMA MSTAAFU WA FREEMASONS KUHUSU MKAPA NA MWAI KIBAKI KUWEMO NDANI YA HICHO CHAMA.


Sir Andy Chande.

Kwa longtime sasa hivi Tanzania imeshuhudia magazeti mengi pamoja na stori za internet kwenye blogs, website na facebook kuhusu Freemasons, kwa kiasi kikubwa baada ya hizo habari, picha iliyojengeka kuhusu Freemasons ni kwamba ni dini ya kishetani.
Wametajwa mastaa mbalimbali wa Tanzania pamoja na viongozi wa kisiasa kwamba nao wamejiunga na dini hiyo akiwemo rais mstaafu wa Tanzania William Mkapa na Rais Mwai Kibaki wa Kenya.
Exclusive kwenye THE INTERVIEW ya CLOUDS TV Mtangazaji Gerald Hando amefanya interview na Sir Andy Chande ambae alikua freemasons lakini kwa sasa amestaafu.
Moja kati ya mambo aliyoyazungumzia ni pamoja na taarifa za Kibaki na Mkapa kuwemo kwenye hicho chama, hapa namkariri akisema “Hakuna hata mmoja kati ya mkapa wala kibaki ambae ni Freemason, nilipofika hapa mwaka 1950 katika biashara zangu nilikutana na watu wengi katika Nyanja mbalimbali ambao walikuwa wakiandaa chama cha freemasons ambao walinialika kwenye vikao mbalimbali Uganda, Kenya, uingereza na kwingineko kama Ghana na Khumasi ila nikastafu baada ya miaka 19 kufanya kazi na freemasons.
Sihusiki tena na freemasons huku Tanzania, ila kama uingereza naenda mara kwa mara kwa sababu bado kuna baadhi ya mashirika ninayofanyakazi nayo hadi sasa, Freemasons sio kama watu wengi wanavyosikia au kuambiwa.. kuna tofauti”

JUMA NATURE NI BABA YANGU ILA AMENIKATAA

Kijana huyu nimekutana nae mjengoni ambapo alifika na kudai kuwa yeyey ni mtoto wa msanii Juma Nature na kujitambulisha kama Samson Juma Kassim Kiroboto, Samson anatokea Morogoro na kwa maelezo yake yeye amezaliwa mwana 1995.
"mama yangu ameshafariki na nilishawahi kwenda mpaka kwa baba yangu Juma Temeke nikiwa na bibi yangu, lakini aliponiona tu akanifukuza akasema hataki kuniona tena " hayo ndio yalikua maelezo ya Samson.
unaona kuna kufanana na nature katika picha hiyo?

MIMBA YA JINI KABULA IMEBAKI STORI

 
 Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’.

SIKU chache baada ya kuahidi kumzalia mtoto mpenzi wake aliyemtaja kwa jina la Bushoke, mwigizaji wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amedaiwa kupata tatizo la mimba yake kuharibika.
Chanzo chetu makini kilitutonya kuwa, kuharibika kwa mimba hiyo kulibainika hivi karibuni huku mwenyewe akieleza kutojua sababu.
“Mwenyewe anadai hata hajui imeharibika kwa sababu gani lakini ukweli ndiyo huo, kwa sasa hana raha kabisa kwani alishaamua kuzaa lakini ndiyo hivyo tena,” kilidai chanzo hicho.
Katika kupata ukweli wa habari hiyo, mwandishi wetu alimtafuta Jini Kabula na alipoulizwa juu ya mimba yake kuchoropoka alisema kwa masikitiko:
“Naomba unipigie baadaye nitakueleza kila kitu lakini ni ukweli kwamba ‘mwanangu’ ametoka.”