Matukio

                          NDOA YA H-BABA, FROLA UTATA MTUPU:

Ndoa ya nyota wanaotamba kupitia fani ya muziki na filamu Bongo, Hamis Ramadhan Baba, ‘ H-Baba’ na Frola Mvungi, bado iko gizani kufuatia, kijana huyo kushindwa kufikia uamuzi.  H-Baba amesema kuwa hana uhakika kama jambo hilo linaweza kupewa nafasi hivi sasa kwa kuwa kuna mambo mengi yanyomfanya kushindwa kufikia uamuzi wa kufunga ndoa na mwigizaji huyo

“Bado kuna utata, sijafikia uamuzi wa kufanya jambo hilo hivi sasa, sitaki kusema sana kwa sababu najua kuna watu ambao wanajaribu kuingilia uhusiano huu, ki ukweli sijafikia uamuzi kuna mambo madogo madogo bado nayachunguza kwa mwenzangu na wakati ukiwadia basi kila kitu kitakuwa wazi” alisema H-Baba aliyeingia kwenye uhusiano na Frola mwaka mmoja uliopita. 

 ....................................................................................................................................................................


MTOTO WA KIKE ANAE LIA DAMU

Photo by BARCROFT MEDIA
This is the girl who has baffled top doctors because she spontaneously BLEEDS from her pores up to 50 TIMES a day.Twinkle Dwivedi, 14, has strange disorder which means she loses blood through her skin without being cut or scratched. Terrified Twinkle has even undergone transfusions after pints of it seeped through her eyes, nose, hairline, neck and soles of her feet. More images and video after the break...

Spontaneously
Dr George Buchanan, a leading haematologist who has worked in Britain, travelled to India to look into the startling case. The teenager from Lucknar, Uttar Pradesh, has been suffering the frightening episodes up to 50 times a day for the last three years. She said: "I bleed from my eyes, my hands, my head, from everywhere. From my ears, nose and eyes as well. "It doesn't hurt when the bleeding starts. But it makes me tired and sometimes I have headaches." Dr Buchanan, an American paediatric blood specialist, visited Twinkle's family at the Jaslok Hospital in Mumbai where he observed her bleeding.


He said: "I've never seen a case of someone who bleeds spontaneously from their scalp or their palms, or read about it in medical history.

"I was interested to see if I could help Twinkle."

The doctor was called to the family's hotel room to witness bleeding which began from her hair parting.

He was shocked to find no signs of cuts, bruising or redness.

Dr Buchanan said: "It doesn't seem physically possible for blood to seep through intact skin.

"But I saw no signs of cuts or bruising anywhere on her body."

Dr Buchanan and his team carried out a series of tests including cutting Twinkle's skin to time how quickly the bleeding stops.

Tests show she may have a mild form of a clotting disorder, which means her platelets do not stick together properly. But this is not enough to explain the spontaneous bleeding.

Dr Buchanan is also investigating whether Twinkle or her mum cause the bleeding themselves.

Twinkle, a Hindu, said: "I am not causing this. Why would I want to make myself bleed?



"I don't want to be like this. I want to go to school and have a normal life."

The unlucky girl has missed at least two years of education after two schools banned her from classes because of the bleeding.

The mysterious case of Twinkle's bleeding is fully examined in a new BodyShock documentary next week.

It also shows Twinkle's family visiting a local mystic, being examined by a Christian bishop for stigmata, and bathing in the River Ganges.

The Girl Who Cries Blood is on Tuesday night at 10pm on Channel 4. 

...............................................................................................................................


Na Waandishi Wetu
Takribani saa 18 tangu alipotamba runingani akimnadi mwanaye kuwa mambo safi, mama mzazi wa Wema Isaac Sepetu, Mariam Sepetu amejificha chumbani baada ya waandishi ‘vichwa ngumu’ kutinga nyumbani kwake wakitaka kufanya naye mahojiano, Risasi Jumamosi lilishuhudia tukio la ajabu.
NI SINZA-MORI, DAR
Tukio hilo lililokuwa kama filamu ya kivita lilijiri nyumbani kwa mzazi huyo wa Wema, maeneo ya Sinza-Mori, Dar es Salaam Juni 20, mwaka huu, mchana kweupe wakati kukiwa na marudio ya kipindi alichotumia kumnadi mwanaye na kuwananga marafiki zake.
Baada ya kugonga geti na kukaribishwa ndani na binti waliyemkuta, mapaparazi hao wawili walisimama kwenye mlango wa nyumba kusubiri binti huyo akamuite mama Wema ambaye wakati huo alisikika kupitia dirishani akimsimulia mtu kwenye simu yaliyojiri baada ya kubwatuka runingani siku moja iliyopita (jana yake).
“Eee! Nakwambiajee, nimewachamba ile mbaya kwenye televisheni na nimewaambia wasikanyage nyumbani kwangu,” alisikika mama Wema wakati binti aliyekwenda kumwita akisubiri amalize kuzungumza na simu amwambie kuna wageni wake (waandishi wawili).
‘MUVI’ LA KIVITA LAANZA
Sekunde kadhaa baada ya kukata simu, yule binti alisikika akimpasha habari kwamba kuna wageni wake, ndipo alipochungulia dirishani na kugundua kama aliokuwa akiwazungumzia muda mfupi ndiyo wameingia baada ya kuwaona wakiwa na vitendea kazi kama kamera, notebook, vinasa sauti na kalamu.
Kwa macho ya kawaida aligundua anaowaona mbele yake ni waandishi lakini kwa mwendo wa kubwatuka kwa sauti, alianza kwa kuuliza pasipo kutoa nafasi ya kupewa majibu.
“Ninyi ni waandishi, si ndiyo eeh. Nauliza ninyi ni waandishi? Nimesema sitaki kuona mwandishi anakuja nyumbani kwangu. “Eeeh… Hamnijui eeeh, hamjui mashetani yangu, eeeeeeeeh… nyie ni…(akaporomosha matusi mfulululizo). Ama kweli nyie vichwa ngumu! Pamoja na kuchimba mkwara mmekuja!” alisikika mama Wema.
BINTI AWATIMUA WAANDISHI
Mama Wema alipogundua kwamba waandishi wako ‘fulu’ na vifaa vya kazi, ilibidi ‘amualati’ binti huyo awapopoe kwa mawe na kisha kuwasakizia mbwa ambaye alionekana si wa ulinzi (ni yule Fiona wa Wema).
MAHOJIANO KUPITIA DIRISHANI
Wakati akiendelea ‘kuwaka’ na kusababisha mtaa mzima kurindima, waandishi waliendelea kufanya naye mahojiano kupitia dirishani wakitaka majibu ya maswali yao yaliyohusiana na utajiri wa ghafla wa Wema lakini majibu yakawa ni kelele za mayowe kutoka kwa mzazi huyo.
Timu ya waandishi ilipojiridhisha kwa picha za kumwaga, iliondoka na kumwacha mama Wema akiendelea kuporomosha matusi akiwa chumbani.
Imeandikwa na Richard Bukos, Erick Evarist na Issa Mnally.

No comments:

Post a Comment