Saturday, June 30, 2012

Sababu 7 za vibinti kushobokea penzi la watu wazima





1. Wanajua kupatiliza wanawake
Katika uchunguzi uliofanyika kwa kuzungumza na baadhi ya wasichana, imeonesha kuwa wengi wao wanapapatikia watu wazima kwa kuwa wanajua namna ya kumpatiliza mwanamke. Wanajua kujali, kubembeleza na kuwafanyia wapenzi wao vitu ambavyo wanavitaka kwa wakati bila longolongo.
Inaelezwa kuwa, watu wazima wanawachukulia wapenzi wao kama watoto hivyo kuchukua nafasi ya kuhakikisha wanakuwa ni wenye furaha wakati wote.
2. Wanajua kuhudumia
Inasemekana kuwa, mtu mzima anapoingia kwenye uhusiano, anakuwa mwenye msimamo unaoweza kufanya mambo yakaenda kama alivyopanga. Akisema anakupenda anamaanisha kweli na atakuwa tayari kwa gharama yoyote kuhakikisha uhusiano au ndoa inadumu.
Linapokuja suala la fedha, watu wazima wanaonekana si wabahiri. Wanajua kuhudumia ili mradi tu wapewe penzi lenye ujazo unaostahili. Hapa ndipo panapowagusa wengi.
Katika wasichana 10 niliowauliza sababu za baadhi yao kupenda watu wazima, 9 walisema ‘wazee’ siyo bahiri na wanajua kuhudumia na kumfanya mwanamke aishi maisha ya raha mustarehe tofauti na vijana ambao mwanzo wanaweza kuanza kwa kujifanya wanajua kuhudumia lakini baadaye wanageuka kuwa ‘marioo’.
3. Wanajiamini
Asilimia kubwa ya wanawake ulimwenguni kote wanapenda kuwa na wapenzi/waume wenye msimamo na wanaojiamini. Hata hivyo inaonesha kuwa, watu wazima ni wenye msimamo na wanajiamini zaidi kuliko vijana na ndiyo sababu ya baadhi ya wasichana kuwashobokea.
4. Wamepevuka
Watu wazima ni watu waliopevuka kiakili na kimwili hivyo wana uwezo wa kuwafanya wapenzi wao nao wakapevuka kadiri siku zinavyokwenda. Ndiyo maana baadhi yao wakishaolewa au kuwa kimapenzi na watu wazima wanabadilika katika maamuzi. Hicho ni kitu kinachowafanya baadhi yao kupenda kuwa na watu wazima.
5. Wameshafanya makosa mengi, wamejifunza
Mtu mzima ni lazima atakuwa amepitia uhusiano na watu wengi. Atakuwa amepata uzoefu mkubwa kwani atakuwa amefanya makosa mengi na kupitia hayo atakuwa amejifunza, hawezi kuyarudia.
Kwa maana hiyo mwanaume mwenye umri umri mkubwa akiingia kwenye uhusiano na kabinti ni vigumu kukakwaza, kila atakalotaka kulifanya ambalo atahisi atamkosea ni rahisi kuliacha hivyo kumfanya msichana aliyeingia kwenye uhusiano naye kutopokea samahani za kila mara kwa mara.
6. Hawaigizi
Ni kweli wapo watu wazima wale tunaowaita mafataki ambao wanapomtokea binti mdogo lengo lao si kuoa bali ni kuonja penzi kisha huingia mitini.
Hata hivyo, uchunguzi unaonesha watu wazima wengi wanajua kupenda na wanaposema hivyo wanamaanisha kweli, hawaingizi sanaa na ndiyo maana ni wepesi wa kuhudumia, kubembeleza na kuchukua nafasi ya ‘ubaba’. Hicho kinawafanya wasichana wengi kukimbilia huko.
7. Hawana wivu wa kijinga
Wapo ambao wana wivu kweli lakini uchunguzi unaonesha kuwa, watu wazima wengi hasa wale walio kwenye uhusiano hawana wivu wa kijinga unaoweza kuwa kero.
Hawana tabia ya kupiga simu kila mara na kuuliza uko wapi, hawana maswali kama vile; ‘yule uliyekuwa unaongea naye ni nani’, kwa kifupi watu wazima wakipata kile wanachokitaka hawana ile kumfuatilia mtu licha ya kwamba wakibaini wanamegewa wanaumia sana na ni wepesi wa kuchukua maamuzi magumu.

Ndoa ya Bob Juniour kuonekana ya Tofauti

 


Bob Juniour mmiliki wa studio ya Sharobaro record licha ya kufunguka kuwa anatarajia kufunga ndoa na mpenzi wake kutoka Zanzibar na sherehe ye ndoa hiyo kufanyika nyumbani kwao mapema wiki hii msanii na mmiliki huyo huyo wa studio ametamka kuwa mnamo Julai mosi atafanya pia sherehe ya ndoa yake ndani ya ukumbi wa Klabu ya Billz ambako uingiaji wa watu hautakuwa wa sheria bali kila mtu anaruhusiwa kuhudhuria sherehe hiyo na amedai itakuwa ya aina yake kwenye historia.

   

MOM SEX WITH HER OWN SON


MOM SEX WITH HER OWN SON, NOW JAILED FOR FOUR YEARS....

You wouldn't believe,Miss Mistie Rebecca Atkinson, 32, is a real biological mother of the boy who is now turning to be her fuck buddy if you dont wanna call him boyfriend
The news came out after she was found in a Ukiah, California motel room with the 16-year-old boy, who had recorded his mother giving him oral sex on his phone after relatives reported them to the police
The woman, 32, (pictured left) has been convicted of incest after having sex with her son, 16 – but she claims it was a case of ‘genetic attraction’…what an excuse!!
On her own writing Miss Atkinson said on her later to the police ‘I don’t feel like I should have the charge of incest because there is something called genetic attraction that is a very powerful [phenomenon] that happens to 50 [per cent] of people becoming reunited with a long-lost relative,’ .
Research has been carried out on genetic sexual attraction. But some psychologists say family members who are separated for a long time could become sexually attracted to each other when they meet as adults.

GENETIC SEXUAL ATTRACTION

Genetic sexual attraction is a phenomenon where close biological family members, such as siblings or cousins, become attracted to each other when they meet as adults.
If family members do not know each other during the critical years of development, they risk finding each other attractive.
Little research has been carried out into the phenomenon but some psychologists claim it exists due to shared personality traits, which are desirable in a partner.
GSA is rare between people brought up together, due to reverse sexual printing, where people become desensitized to finding family members attractive to prevent inbreeding.


She reportedly had no contact with her son until last year when she began sending him inappropriate messages on the social networking site.
The boy was living with his father at the time and was aware Atkinson was his mother. She did not have custody rights to her him.
‘It appears she hadn’t had any contact with the son for 15 years’ a source told the New York Daily News.

Tuesday, June 26, 2012

Diamond na Freemason kama zaanza kueleweka sasa



Diamond akisalimiana na mtasha kwa ishara ya Kifreemason.
Stori: Shakoor Jongo na Erick Evarist
SIRI imefichukua kuwa madai kwamba ‘kichaa’ wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’ ni memba wa jamii ya siri inayodaiwa kumwabudu shetani, Freemason a.k.a Wajenzi Huru zilianza kitambo lakini sasa zimeshika kasi baada ya kunaswa kwa picha inayomuonesha akisalimiana na mtasha kwa ishara ya Kifreemason, Ijumaa Wikienda linaibumburua.
Kwa mujibu picha hiyo, tukio hilo lilijiri nchini Uingereza, mwaka jana, Diamond alipokwenda huko kwa ajili ya shoo.
MAVAZI
Ilidaiwa pia kuwa mavazi ya Diamond (meusi) yalishabihiana sawia na yale ya mtasha huyo yanayoelezwa kuwa sehemu ya mavazi ya jamii ya Freemason.
ISHARA
Kingine kilichoibua maswali ni ishara ya salamu ya wawili hao ambayo ilitengeneza nembo ya Freemason ya ‘V’ au bikari kwa namna walivyogusana kwa vidole.
Kwa mujibu wa wadau walioiona picha hiyo iliyonaswa kwenye mtandao wa Twitter, Diamond amekuwa na ishara nyingine nyingi za aina hiyo hivyo kuzidi kuzua utata kama ni memba wa jamii hiyo.
“Lakini inawezekana kwa sababu nasikia ukishajiunga unapata mafanikio ya ghafla. ‘So’ kuhusu hili, sina upande wa kusimamia,” ilisomeka sehemu ya maoni kwenye mtandao huo baada ya kuibuka mjadala mzito juu ya ishu hiyo inayozidi kushika kasi mithili ya moto wa kifuu.
“Tungeshukuru kama Diamond mwenyewe angejitokeza aseme ukweli kwani akinyamaza anazidi kutuweka njia panda,” ilisomeka sehemu nyingine ya maoni hayo huku ikiungwa mkono na wengi.
UNATAKA KUMSIKIA DIAMOND? SOMA HAPA
Ili kumaliza utata wa je, Diamond ni Freemason au la, Ijumaa Wikienda lilibeba jukumu la kumtafuta ili aanike ukweli wake ambapo alikuwa na haya ya kusema:
“Unajua mwanzoni nilikuwa sikumbuki ni lini na wapi nilipiga picha ya dizaini hiyo. ‘Anyway’, isiwe kesi, nakumbuka ilikuwa Uingereza kipindi kile nilikuwa na shoo nchini humo.
“Nakumbuka walinifuata watasha wengi tofauti lakini huyo mmoja alining’ang’ania sana nipige naye picha.
“Kwa kweli alinilazimisha sana kwa sababu mwanzo nilikataa lakini baadaye nikaona isiwe ishu nikampa ushirikiano alioutaka.
“Mimi sikuona matatizo alivyotaka tusalimiane kwa kugusisha vidole kwa sababu nilikuwa sijui chochote kuhusu Freemason. Nimeijua baada ya mambo haya kuyasikia kwa sana hivi karibuni.
“Kwa hiyo inawezekana siku hiyo waliniunganisha bila mimi kujua (kicheko).”
SASA UKWELI NI UPI?
Mara kadhaa Diamond amekuwa akihusishwa na Freemason kutokana na mafanikio ya ghafla aliyoyapata na mvuto alionao kwa mashabiki wake ndani na nje ya Bongo.
Ijumaa Wikienda lilipotaka kupata ukweli kutoka kwake, Diamond alifunguka:
“Si kweli bwana, mimi nazisikia tu hizi habari kama wengine. Nasikia tu ipo hapa Bongo na kiongozi wake ni Sir Andy Chande, zaidi ya hapo sijui chochote.
“Mimi ni mtu wa swala tano na mafanikio yangu naamini Mungu ndiyo kila kitu.”
KUNA MSANII MWINGINE
Mbali na mwigizaji Jacqueline Wolper na marehemu Steven Charles Kanumba ‘The Great’ ambao wamekuwa wakitajwatajwa na mambo ya Ufreemason, Ijumaa Wikienda limetajiwa msanii mwingine ambaye yupo mbioni kujiunga akidai anakwenda kufuata utajiri.
AANZA KUPATA MAFANIKIO
Msanii huyo ambaye ni mwigizaji mwenye jina (tunalihifadhi kwa sasa) anadaiwa kuanza kupata mafanikio ya ghafla hivyo Ijumaa Wikienda lipo mzigoni na litakapomuweka kati litamrusha hewani.

Sajuki apata nafuu na kumshukuru Mungu wake

 Sadick Juma Kilowoko ‘Sajuki’ akiwa hospitalini nchini India.

 Sajuki akiwa amepumzika, pembeni ni mkewe Wastara Juma.

Stori: Imelda Mtema
HEBU mwacheni Mungu aitwe Mungu! Hatimaye habari njema kutoka katika Hospitali ya Saifee iliyopo jijini Mumbai, India anakotibiwa staa wa filamu za Kibongo, Sadick Juma Kilowoko ‘Sajuki’ zinatia faraja kwa Watanzania, Ijumaa Wikienda linakupa stori ‘exclusive’ kutoka nchini humo.
ANYANYUKA KITANDANI, AONGEA
Habari hizo njema zinaeleza kuwa Sajuki aliyeambatana na mkewe, Wastara Juma na kaka yake, hatimaye ameweza kunyanyuka kitandani na kuongea tofauti na siku aliyoondoka Bongo na mwanzoni alipofikishwa hospitalini hapo.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, mwishoni mwa wiki iliyopita kwa njia ya simu, Wastara alisema Sajuki alikuwa amepata nafuu na hali siyo mbaya kwani alikuwa na uwezo wa kuzungumza hivyo akampa simu ili azungumzie afya yake yeye mwenyewe jinsi anavyojisikia.
SAJUKI LAIVU
Sajuki alipopewa simu alianza kwa kuwashukuru wale wote wanaomuombea dua na kujitolea kwa hali na mali ili kuokoa uhai wake.
“Namshukuru sana Mungu naendelea vizuri. Nilichukuliwa vipimo na nikabainika kuwa na uvimbe mwingi sehemu mbalimbali tumboni.
“Madaktari walibaini kuwepo kwa uchafu kwenye mapafu. Mwanzoni waligundua nina tatizo la kupumua na kukaukiwa damu.
“Wamelishughulikia hilo kwanza na hapa nilipo nimezungukwa na madawa, kwa kweli najisikia nafuu,” alisema Sajuki kwa sauti ya kukwaruza.
MADAKTARI
Sajuki alisema alipokelewa vizuri lakini kabla ya kuanza matibabu ya uvimbe tumboni, madaktari walilazimika kumtibu kwanza tatizo la damu na pumzi hivyo matibabu ya kilichompeleka hospitalini hapo (uvimbe) yakawekwa pembeni.
WASTARA ATIA NENO
Kwa upande wake, Wastara alisema kuwa Sajuki alipaswa kupatiwa matibabu kwa wiki mbili ndipo warejee nyumbani lakini kwa hali halisi inaonekana watakaa zaidi kwani tayari wiki mbili zimekatika.
MATIBABU YAANZA
Wastara alisema kuwa baada ya kumalizika kwa tatizo la pumzi na kupungukiwa damu, madaktari wameanza vipimo vya tatizo la uvimbe na kusisitiza kuwa uzi ni uleule wa kumwombea mumewe ili arejee katika siha njema.
TUMEFIKAJE HAPA?
Sajuki alianza kusumbuliwa na uvimbe mwaka jana ulioanzia mkononi na baadaye ndani ya mwili kwenye ini na sasa madaktari wanasema siyo kwenye ini tu bali na sehemu nyingine tofauti za tumboni.

Husna Maulid amepigwa ndoa kimyakimya



MSHIRIKI wa Miss Tanzania 2011/12, Husna Maulid amepigwa ndoa kimyakimya na jamaa mmoja aliyemtambulisha kwa jina la Abubakar Rajab, mkazi wa Ilala, Dar es Salaam nyuma kukiwa na madai kuwa kaolewa na mume wa mtu hivyo ni mke wa pili.
Kwa mujibu wa chanzo cha habari hii, tukio hilo lilichukua nafasi Ijumaa iliyopita Juni 22, mwaka huu nyumbani kwa kina Husna, Mikocheni Ushindi, Dar baada ya wazazi wake kuridhia binti yao aolewe na mwanaume huyo.
Chanzo hicho kilidai kuwa pamoja na Husna kufahamu kuwa jamaa huyo yupo ndani ya ndoa, hakujali hilo kwa kuwa alidhamiria kuingia kwenye maisha ya ndoa hivyo haogopi ukewenza.
Ilifahamika kuwa wakati Husna akiulizwa na mashehe kama ameamua kuolewa kwa ridhaa yake bila ushawishi wa wazazi au ndugu alikuwa na haya ya kusema:
“Nakiri mbele yenu kuwa nimempenda Abubakar na nimeridhia kuolewa naye bila kishawishi kutoka kwa mtu yeyote.”
Huko nyuma Husna alipata umaarufu kutokana na tabia yake ya kupenda kupiga picha za utupu.