Tuesday, June 12, 2012

Wawili wapoteza uhai wakati wengine wako mahututi hospitali

                                                           Gari ikiwa imepaki kabla ya ajali

                                               Gari ikiwa kwenye mojawapo ya mashindano

                                    Gari baada ya ajali mbaya iliyosababisha mauaji mabaya sana

Ni ajali mbaya sana iliyowakuta vijana wanne kutoka arusha waliyokwenda kwenye mashindano ya magari huko kenya, wawili wapoteza uhai huku wawili wengine wakiwa na hali mbaya hospitalini. Kwa waliyo hai hospitalini Mungu awasaidie wapone haraka na kwa waliyopoteza uhai hatuna la kusema zaidi ya Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi amina. 



No comments:

Post a Comment