Thursday, June 21, 2012

Balaa lingine night club za mbele

THE HOUSTON RAPPER "TRAE THA TRUTH" APIGWA RISASI AKIWA NIGHT CLUB.


Katika tukio lingine katika club baada ya lile la Chriss Brown na Drake eti inasemekana walileteana walirushiana chupa club na kupeleka Chriss Brown kuumia kidevu, huko Hoston watu sita walipigwa risasi katika Southwest Strip NightClub na watatu kufa papo hapo kati ya majeruhi alikuwepo rapper kutoka Houston Trae Tha Truth.  Habari kutoka MvFox Houston zinasema wawili kati ya hao waliopigwa risasi walikuwepo wavulana wawili na mwanamke mmoja.

No comments:

Post a Comment