Wednesday, June 20, 2012

John Mnyika atolewa nje ya Bunge


                                                   Hapa Mnyika akitoka nje ya Bunge

Mbunge wa jimbo la Ubungo John Mnyika akitoka nje ya viwanja vya Bunge la Tanzania leo mjini Dodoma baada ya kukataa kufuta kauli ya kumdhalilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa dhaifu. Mbunge huyo alitoa kauli hiyo wakati akichangia Bajeti ya serikali ya mwaka 2012/13 katika mkutano unaoendelea.

                                        Hapa Mnyika akisindikizwa na watu wa Ulinzi Bungeni
   
Kitendo kilichodaiwa kuwa ni udhalilishaji na kashfa kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

No comments:

Post a Comment