Tuesday, July 30, 2013

MWANAUME AKATWA ULIMI NA MKEWE KISA WIVU WA KIMAPENZI

Bw.Anord Nyabenda akionesha Ulimi wake namna ulivyokatwa kwa meno na mkewe. Imeelezwa kuwa chanzo ni wivu wa kimapenzi kati yake na mkewe. Hadi sasa mwanamke hajafika Hospitalini alikolazwa kwa matibabu ili kujulia hali mwenzake.

No comments:

Post a Comment