Wednesday, September 12, 2012

Chris Brown atupia tatoo yenye sura ya Rihanna

Msanii anayefanya vizuri sana katika game la muziki wa R&B kutoka  pande za state.Huyu si mwingine anafahamika kwa jina la Chris brown.Msanii huyu siku za hivi karibuni alionekana amepiga new tatoo katika shigo yake.tatoo hiyo ilizua sana maneno kutoka kwa watu kwamba ni sura ya msanii ambaye anafanya game la muziki American anafahamika kwa jina la Rihanna.
 Hii ndiyo tatoo mpya ya chris brown ambayo inasemekana kwamba ni sura ya Rihanna.

No comments:

Post a Comment