Wednesday, November 21, 2012

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam Yatoa Hukumu Ya Kunyogwa Hadi Kufa Watuhumiwa Wa Mauaji ya Swetu Fundikira

 Marehemu Swetu Fundikira enzi za uhai wake.
 
Watuhumiwa waliohukumiwa kifo kutokana na mauaji ya Fundikira MTM 1900 Sajenti Roda Robert(42) wa kikosi cha JKT-Mbweni na MT 75854 Koplo Ally Ngumbe (37) wa JWTZ-Kunduchi
--
 WATUHUMIWA katika mauaji ya Swetu Fundikira,  MTM 1900 Sajenti Roda Robert (42) wa kikosi cha JKT - Mbweni na MT 75854 Koplo Ally Ngumbe (37) wa JWTZ-Kunduchi leo wamehukumiwa kifo baada ya kupatikana na hatia na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.Habari zaidi Baadae

No comments:

Post a Comment