Tuesday, January 8, 2013

PICHA ZA WEMA SEPETU ZIMEMAKE HEADLINE MITANDAO YA JAMII

 
Ikiwa ni mda mchache tu baada ya kupost picha zake zenye kuonyesha wazi sehem za tumbo na kifua kupitia Instagram, picha ya wema imeonekana kusambaa kwa haraka zaidi kupitia mtandao wa jamii "facebook" huku kila mmoja akitoa maoni yake kutoka na mtazamo wake. 
 Obedy Bernard Hakika Ney wa mitego hakukosea, makahaba wenye vwango wako bongo move. Wema ni mfano tosha usio pngika kwa hilo. Halafu inakuwaje mwanatme mwenye akili zako umshobokee kahaba kama huyu? Yaani zkitoka tunzo za khb bora tz huyu malaya hatakuwa na mpinzani.
 Timoth Kalavuze wema noma xnaa!!!
Hija Punch Boy Mbogo no one like you i love you wema sepetu waache waogee 2 kwamba wewr malaya kwangu wewe ni namba moja
Paul Shangal Hamna kioo cha jamii bali ktanda cha jamii
Shabbani Saidi daaaaaaaaa ujuwe dada zetu wana tabu sana naiyote kutaka kufosi kuwa maalufu kama watu wa mbele kumbe awajui kama wana jizalilisha kwani lazima uwe malufu na tama ina wapoza kk tuseme ukweli bwana
Mary Talalela usi judge na ku-coment bad about her mwache ahave funny nyie mnajua wake au magirlfnd zenu huwa wanafanya nini nyuma ya pazia ....? sibora wema .... i love u baby wema sana shoo what u have.
kupitia Instagram wema alipost picha hiyo ikiwa na maneno haya " gats to lose me a few more pounds"

2 comments:

  1. karibu kikombe cha ghadhabu ya Mungu kitajaa juu ya Tanzania,mara mabomu mara wema yote hayo yalinenwa na mitume na manabii."NI UJIO WA MWANA WA ADAMU", okokeni ndugu msibaki kushangaa.

    ReplyDelete
  2. kwani ni nani hajui habari za kiama kuwepo hata kama ni mpagani? Mnafikili ni kwa nini viongozi wa nchi wanaangalia uchafu huu ukiendelea?NENO LA MUNGU LINASEMA WATAKUWA NA MACHO LAKINI HAWATAONA,PIA WANA MASIKIO LAKINI HAWATASIKIA

    ReplyDelete