Tuesday, July 17, 2012

*BREAKING NEWS*

Msanii CHEGE apata ajali mbaya ya gari usiku huu Temeke Dar es salaam, ameumia ila gari halifai kabisa. Chanzo ni mtu wa pikipiki......
Tutaendelea kuwajuza kadri tutakavyoendelea kupokea habari, Tumuombeeni kwa Mungu asiwe ameumia sana

1 comment: