Tuesday, July 17, 2012

MTOTO WA KAMBO WA USHER RAYMOND KUTOLEWA KWENYE LIFE SUPPORT MASHINE MWANZONI WA MWEZI WA NANE


wiki moja baada ya mtoto wa kambo wa Usher Raymond  Kyle Glover kutangazwa kuwa ubongo wake umekufa baada ya ajali ya jet ski katika ziwa Lanier Atlanta, inasemekana kuwa ex-wife wa Usher Tameka Foster atalazimika kumtoa mtoto huyo mwenye miaka 11 kwenye life support mashine mapema mwezi wa nane.
habari zinasema kuwa kampuni ya insurance ya Tameka inategemea kutoa deadline ya kuendelea kulipa billi kubwa kutoka katika hospitali hiyo na kuweka wazi kuwa ni miezi kadhaa ijayo. mama wa mtoto Tameka amesema anaamini miujiza itatokea na mtoto huyo atarudi tena duniani ....

No comments:

Post a Comment