Thursday, July 19, 2012

Habari picha mwanzo mwisho wa uokoaji wa wahanga wa ajali ya

Mwokoaji akiwa na mmoja wa maiti wa ajali hiyo
 Waokoaji wakiokoa moja ya maiti. wakiwa katika boti ya Kilimanjaro. 
  Majeruhi wakiwa katika mgongo wa boti hiyo wakisubiri kuokolewa.
 Baadhi ya Abiria wakiwa katika moja ya chombo cha kuokolea wakielea baharini wakisubiri kuokolewa.
 Boti ya KMKM ikiwa katika zoezi la kuokowa majeruhi. 
 Helikopta ya Jeshi la Polisi ikiwa eneo la tukio.
 Boti iliozama ni kama hii ni ni pacha wake.
 Boti ya Fly ikiondoka katika bandari ya Zanzibar kueleke kutowa msada w uokoaji.

 Waziri wa Mawasiliano na Miundombinu Hamad Masoud akiwa katika boti ya Kilimanjaro akiwa sehemu ya Tukio ilipozama boti hiyo maeneo ya Chumbe.
 Tagi la Shirika la Bandari likiwa katika sehemu ya tukio.


No comments:

Post a Comment